Tuesday, July 19, 2011

Ally Choki (wa pili kushoto) na baadhi ya wanenguaji wake wakinyanyuana mikono alipomtambulisha Aisha Madinda (kushoto) mbele ya waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam. Kulia ni kiongozi msaidizi wa shoo, Otilia Boniface na kiongozi wa shoo, Super Nyamwela.

No comments:

Post a Comment