Sunday, October 9, 2011

Mzee John Biseko Kasika, akijiandaa kufyeka majani ili kujengea kaburi la kijana wake marehemu Mohamed Biseko Kasika aliyekuwa maarufu kama Sheba Juma ambaye alifariki dunia kwenye ajali ya gari la wasanii wa kundi la Five Star. Machi 21 mwaka 2011.

No comments:

Post a Comment