Thursday, July 7, 2011

Mbunge wa Jimbo la Ruangwa mkoani Lindi ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Elimu, Kassim Majaliwa akimkabidhi mifuko ya unga wa sembe diwani wa kata ya Chinongwe, Phabian Nguli, alipotembelea jimboni mwake.

No comments:

Post a Comment