Thursday, July 7, 2011

Mmoja wa madatari walioshiriki zoezi la kuwapima watu afya bure lililoendeshwa na Kanisa la Wasabato, Magomeni Mwembechai, Dk. Phoibe Koshuma (kushoto) akimpima mtu urefu kabla ya kumpa huduma nyingine.

No comments:

Post a Comment